JetBits |
! You are not logged in to JetBits. Please register or login.
* SiwaleTV > Forum
aron
Mwanzo 2:1-2 MUNGU alipumzika siku ya saba

Mwanzo 2:3 kubalikiwa na kutakaswa kwa sabato

kutoka 20:8-11 kuamuliwa sabato kutunza na wanadamu

kutoka 20:10 sabato ni siku ya saba ya juma

isaya 66:22-23 siku ya kuabudu ni siku ya saba ya juma(juma moshi)

ezekieli 20:12 sabato ni ishara kati yetu na MUNGU

SABATO inaanza jion na kuisha jioni mwanzo 1:8,13,19 lakini pia tazama walawi 23:32 na marko 1:32

JE KRISTO ALI ITUNZA SABATO?
tazama luka 4:16 ili kua desturi yake kila sabato lazima aende kuabudu

tazama pia yohana 15:10 yesu alishika amri za baba ikiwemo sabato

katika mathayo 5:17 yesu alikuja kutimiliza torati na si kutangua ndiyo maana na alishika amri za MUNGU lakini kwene sabato alitimiliza mambo kama kutenda mema,kuokoa luka 6:7

sasa kuna watu wana sikiliza na kushika mafundisho ya wanadamu(roman catholic na matawi yake)kua sabato ilibadilishwa na sabato ilikomea msalabani wote hao biblia inasema katika marko 7:7-9
TUBADILIKE NA TUISHIKE SABATO AMEN
0 Replies 14 Views 1 Bookmarks
topics posts

* SiwaleTV Forum
fav Bookmarks

* SiwaleTV