
![]() |
@jumamegaboy | |
KARIBU TUENJOY. Na lugha ya kiswahili. Mimi niswali. Wadau wa mpira hebu niambieni utabili wenu kuelekea. Mech ya RS Berkane Na Simba sport club! Nani kuondoka mwamba mbele ya mwenzake. Niite. Yohana S,M au DJ.PLAN+255,TZ |
||
12
Replies
61
Views
2 Bookmarks
|
Page #: 1/2 |
![]() |
@kingmswati | 5 days |
Mshindi anajulikana xax mwakarobo ndo wakumfunga berkane
|
||
![]() |
@jumamegaboy | 5 days |
Nitumie namba yako
|
||
![]() |
@kingmswati | 5 days |
0792710598
|
||
![]() |
@jumamegaboy | 5 days |
Umetisha sana
|
||
![]() |
@tzfighter | 5 days |
Jiunge channel ya predictfootball utaona ila kiuzalendo tuiombee simba maana UZALENDO KWANZA
|
||
![]() |
@jaliku | 4 days |
Hahahahaha ilo ni jbu kaka
|
||
![]() |
@jumamegaboy | 4 days |
Kuiombea timu ya tanzania nijambo la heri. Ila kunavitu vinaendelea hapa. Tanzania hata mimi vinanichanganya. 1_wewe unaiyombea timu fulani ishinde. Naikishinda wenye timu yaani mashabiki wanaanza kusema. Ama kuikashifu timu pinzani. Sasa kabura hatujaendelea jibu swali. Je.ingekuwa wewe timu yako inasemwa vibaya ungelika. Alafu timu uliyo iyombea ishende mashabi wa timu hiyo. Wamesahau maombiyako. UTAPENDA Jibu usiogope! DJ PLAN.+255,TZ
|
||
![]() |
@kingmswati | 4 days |
Kila mtu ana penda timu yake uzalendo pemben wakati yanga anatolewa champions league kuna mwana simba hata mmoja aliyeumia ko hata wanayanga wanamuombea simba abuluzwe nje ndani.
|
||


